Ona video zinazopatikana

Mafundisho ya Biblia

Biblia inatoa mashauri ya muzuri zaidi juu ya mambo yenye kuhangaisha sana watu mu maisha. Ile mashauri imesaidia watu kwa miaka mingi. Sehemu hii itakusaidia uone juu ya nini unapaswa kutumainia Biblia, namna inaweza kukusaidia kabisa, na faida yenye inaweza kukuletea.—2 Timoteo 3:16, 17.

 

Usikose Kusoma Habari Hizi

MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA

Wanamuke Wenye Kuzungumuziwa mu Biblia Wanatufundisha Nini?

Ona tofauti kati ya wanamuke fulani wenye walikuwa mufano muzuri na wengine wenye walikuwa mufano mubaya kabisa.

MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA

Wanamuke Wenye Kuzungumuziwa mu Biblia Wanatufundisha Nini?

Ona tofauti kati ya wanamuke fulani wenye walikuwa mufano muzuri na wengine wenye walikuwa mufano mubaya kabisa.

Ujifunze Biblia Pamoja na Mashahidi wa Yehova

Jaribu Programu Yetu ya Kujifunza Biblia

Ujifunze Biblia mu njia ya mazungumuzo pamoya na mwalimu.

Omba Mashahidi wa Yehova Wakutembelee

Uzungumuzie ulizo moya kuhusu Biblia, ao upate habari zaidi juu ya Mashahidi wa Yehova.

Vyombo vya Kusaidia Kujifunza Biblia

Chagua vichapo vya kusaidia kujifunza Biblia vyenye vitafanya ufurahie kujifunza na upate faida mingi.

Namna Gani Biblia Inaweza Kukusaidia?

Amani na Furaha

Biblia imesaidia watu wengi sana wapiganishe magumu yao ya kila siku, kupunguza mikazo ya kimwili na ya akili, na kuwa na maisha yenye furaha. Biblia inaweza kukusaidia na wewe ukuwe na furaha.

Imani Katika Mungu

Imani inaweza kukutia nguvu leo na kukupatia tumaini la kweli juu ya wakati wenye kuja.

Ndoa na Familia

Bibi na bwana, na familia wanakutana na magumu mingi. Mashauri ya Biblia inaweza kufanya familia ikuwe na furaha na inaweza kutia nguvu uhusiano kati ya watu wa familia.

Musaada kwa Ajili ya Vijana

Ona namna Biblia inaweza kusaidia vijana wapambane na magumu yenye inawafikia.

Mazoezi kwa Ajili ya Watoto

Tumia hii mazoezi ya kujifunza yenye kupendeza, yenye kutegemea Biblia, juu utolee watoto wako mafundisho ya muzuri.

Biblia Inasema Nini?

Majibu ya Maulizo juu ya Biblia

Pata majibu ya maulizo juu ya Mungu, Yesu, familia, mateso na juu ya mambo ingine.

Historia na Biblia

Soma historia yenye kushangaza ya namna tulifikia kupata Biblia. Chunguza mambo yenye kuonyesha kama historia ya Biblia ni ya kweli kabisa na ni yenye kutegemeka.

Sayansi na Biblia

Biblia na sayansi vinapatana? Tutajifunza mambo mingi kama tunalinganisha mambo yenye Biblia inasema na mambo yenye wanasayansi wamevumbua.