Hamia kwenye habari

Ujerumani

 

Mashahidi wa Yehova Nchini Ujerumani

  • Mashahidi wa Yehova​—174,907

  • Makutaniko​—2,002

  • Hudhurio la Ukumbusho wa kifo cha Kristo unaofanywa kila mwaka​—273,222

  • Uwiano wa Mashahidi wa Yehova kwa kulinganisha na idadi ya watu nchini​—1 kwa 488

  • Idadi ya Watu​—84,359,000

2019-01-21

UJERUMANI

Eneo la Makumbusho Nchini Ujerumani Lapanga Maonyesho Kuhusu Mateso ya Mashahidi wa Yehova

Maonyesho hayo yanaonyesha kwamba Mashahidi wa Yehova waliteswa kwa sababu ya imani yao thabiti chini ya utawala wa Nazi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ujerumani iliyokuwa ya Kikomunisti.

2018-09-28

UJERUMANI

Maonyesho ya Kassel, Ujerumani, Ni Miaka 70 Tangu Kusanyiko la Kihistoria la Mashahidi

Mashahidi wa Yehova jijini Kassel walifanya maonyesho kwa ajili ya kusherehekea miaka 70 tangu Mashahidi wafanye kusanyiko kubwa zaidi barani Ulaya muda mfupi baada ya Vita vya Pili vya Ulimwengu.

2018-07-17

UJERUMANI

Sasa Anajulikana: Max Eckert Akumbukwa Katika Maadhimisho Yaliyofanywa Kwenye Kambi ya Mateso ya Dachau

Ingawa Ndugu Eckert alikufa bila kujulikana na wengi, sasa anatambuliwa na wote kuwa mwanamume mwenye imani isiyotikisika.