Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MNARA WA MLINZI Na. 1 2021 | Kusali Kuna Faida Gani?

Je, umewahi kuhisi kwamba Mungu hasikilizi sala zako? Ikiwa ndivyo, hauko peke yako. Watu wengi wamesali kwa Mungu ili awasaidie, lakini bado wanakabili matatizo. Makala katika gazeti hili zitazungumzia kwa nini tunaweza kuwa na hakika kwamba Mungu anasikiliza sala zetu, kwa nini baadhi ya sala hazijibiwi, na jinsi ya kusali ili sala zetu zijibiwe.

 

Watu Wana Maoni Gani Kuhusu Kusali?

Je, sala ni zawadi ya pekee kutoka kwa Mungu au ni desturi isiyo na umuhimu wowote?

Je, Mungu Husikiliza Sala Zetu?

Biblia inatuhakikishia kwamba Mungu anatusikiliza tunaposali kwake kwa njia inayofa.

Kwa Nini Mungu Hasikilizi Baadhi ya Sala?

Biblia inaeleza kuhusu sala ambazo Mungu hujibu na zile ambazo hajibu.

Unapaswa Kusali kwa Njia Gani ili Mungu Akusikilize?

Unaweza kusali kwa Mungu mahali popote na wakati wowote iwe kwa sauti au kimyakimya. Yesu alitusaidia kujua mambo tunayopaswa kusema tunaposali.

Sala Zinaweza Kukusaidiaje?

Kusali kunaweza kukusaidiaje kukabiliana na changamoto?

Je, Mungu Husikiliza Sala Zako?

Biblia inasema kwamba tunaposali kwa Mungu, anasikiliza na anataka kutusaidia.