MNARA WA MLINZI Oktoba 2015 | Je, Kuna Faida Yoyote Tunaposali?

Mwandishi mmoja alisema kwamba sala ni “sawa na kuzungumza na samaki unayemfuga.” Je, wazo hilo ni sahihi?

HABARI KUU

Kwa Nini Watu Husali?

Unaweza kushangazwa na mambo ambayo watu wanasali kuyahusu.

HABARI KUU

Je, Kuna Yeyote Anayesikiliza Sala?

Ili sala isikilizwe, lazima iwe na mambo mawili ya msingi.

HABARI KUU

Kwa Nini Mungu Hutuhimiza Tusali?

Sala hutunufaisha kwa kiasi kikubwa.

HABARI KUU

Sala—Ina Umuhimu Gani Kwako?

Utarajie nini ukisali kwa ukawaida?

Je, Wajua?

Herode alikabili changamoto gani alipokuwa akijenga hekalu la Yerusalemu? Kwa nini watu wa Malta walifikiri kwamba mtume Paulo alikuwa muuaji?

BIBLIA HUBADILI MAISHA

Sasa Ninahisi Kwamba Ninaweza Kuwasaidia Wengine

Julio Corio alipatwa na aksidenti mbaya iliyomfanya ahisi kwamba Mungu hajali. Andiko la Kutoka 3:7 lilimsaidia kubadili maoni yake.

Je, Kweli Tunaweza Kumjua Mungu?

Mambo yasiyoeleweka kumhusu Mungu yanaweza kutusaidia kumkaribia.

HEKIMA YA ZAMANI INAYOFAA LEO

Kusamehe kwa Hiari

Je, kusamehe kwa hiari hakumaanishi kwamba tunakubaliana na tabia mbaya au maumivu tuliyopata baada ya kukosewa?

Majibu ya Maswali ya Biblia

Ni nani atakayeondoa umaskini?

Habari Zaidi Mtandaoni

Chanzo cha Halloween Ni Nini?

Je, ni muhimu kuzingatia chanzo cha desturi za kipagani za Halloween?