Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 37

Kumtumikia Yehova kwa Nafsi Yote

Kumtumikia Yehova kwa Nafsi Yote

(Mathayo 22:37)

  1. 1. Ee Yehova, Baba yangu,

    Ninakupenda wewe sana.

    Najiweka wakfu kwako;

    Nitakutii sikuzote.

    Ninafanya mapenzi yako.

    Vikumbusho navipenda.

    (KORASI)

    Ee Yehova, wastahili,

    Utumishi wa nafsi yote.

  2. 2. Kazi zako zakukweza,

    Ukuu wako zatangaza.

    Nami pia nikusifu;

    Nilitangaze Jina Lako.

    Ninakupa maisha yangu;

    Nitakuwa mwaminifu.

    (KORASI)

    Ee Yehova, wastahili,

    Utumishi wa nafsi yote.