Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 155

Shangwe Yetu ya Milele

Shangwe Yetu ya Milele

(Zaburi 16:11)

  1. 1. Umepamba anga lote

    Kwa nyota zako.

    Umeumba kwa upendo

    nuru na giza.

    Bahari na ulimwengu,

    Kazi zako Ee Yehova

    Hukupa shangwe.

    (KORASI)

    Twafurahia ’umbaji,

    Na kazi ya kuhubiri,

    Paradiso ijayo.

    Upendo wako Yehova.

    Ni hazina ya milele.

    Wewe ni shangwe yetu

    Shangwe ya milele.

  2. 2. Tumepata kila kitu

    Kutoka Kwako—

    Tukichunguza ’umbaji

    Twafarijika.

    Umeweka ndani yetu—

    Tamaa ya umilele,

    Tuwe na shangwe.

    (KORASI)

    Twafurahia ’umbaji,

    Na kazi ya kuhubiri,

    Paradiso ijayo.

    Upendo wako Yehova.

    Ni hazina ya milele.

    Wewe ni shangwe yetu

    Shangwe ya milele.

    (DARAJA)

    Kwa dhabihu ya Mwana

    wako tuna shangwe.

    Alilipia fidia

    ili tuishi milele.

    (KORASI)

    Twafurahia ’umbaji,

    Na kazi ya kuhubiri,

    Paradiso ijayo.

    Upendo wako Yehova.

    Ni hazina ya milele.

    Wewe ni shangwe yetu

    Shangwe ya milele.

    (KORASI)

    Twafurahia ’umbaji,

    Na kazi ya kuhubiri,

    Paradiso ijayo.

    Upendo wako Yehova.

    Ni hazina ya milele.

    Wewe ni shangwe yetu

    Shangwe ya milele.