Najitoa Kwako
Pakua:
1. Nitazamapo nyota,
Zinavyomeremeta,
Ninavutiwa na kazi zako,
Nakupenda sana.
2. Ninajitoa kwako,
Niongoze daima.
Na kila siku, nitakutii
Kwa moyo wangu wote.
(KORASI)
Kwa ajili yangu
Ulitoa
Mwanao mpendwa,
Umenipatia
Tumaini,
Najitoa kwako;
Najitoa kwako.
3. Jua likiangaza,
Nuru inavutia,
Ninashangazwa na njia zako
Ah! Mungu wa milele!
(KORASI)
Kwa ajili yangu
Ulitoa
Mwanao mpendwa,
Umenipatia
Tumaini,
Najitoa kwako;
Najitoa kwako.
(KORASI)
Kwa ajili yangu
Ulitoa
Mwanao mpendwa,
Umenipatia
Tumaini,
Najitoa kwako;
Najitoa kwako.