Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa

Je, umefiwa na mtu unayempenda? Je, unahitaji msaada wa kukabiliana na huzuni uliyo nayo?

Utangulizi

Broshua hii inawapatia wafiwa faraja kutoka kwenye Maandiko.

“Haiwezi Kuwa Kweli!”

Kila siku, familia mbalimbali ulimwenguni pote hukumbwa na matukio yasiyotazamiwa.

Je! Ni Kawaida Kuhisi Hivi?

Ikiwa umefiwa na mtu unayempenda, je, ni makosa kuonyesha huzuni uliyo nayo?

Naweza Kuishije Nikiwa na Huzuni Yangu?

Je, ufiche huzuni yako, au uiache ionekane?

Wengine Waweza Kusaidiaje?

Huenda marafiki wenye utambuzi wakahitaji kuchukua hatua ya kumfariji mfiwa hata bila yeye kuwaambia.

Tumaini Hakika kwa Wafu

Wazo la kwamba hutaweza tena kuzungumza na mpendwa wako, kucheka naye, au kumshika linaumiza sana. Hata hivyo, Biblia inatoa tumaini.