Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Barua ya kwanza kwa Wakorinto

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Salamu (1-3)

    • Paulo anamushukuru Mungu kwa sababu ya Wakorinto (4-9)

    • Wanatiwa moyo kuwa na umoja (10-17)

    • Kristo, nguvu na hekima ya Mungu (18-25)

    • Kujisifu tu katika Yehova (26-31)

  • 2

    • Mahubiri ya Paulo katika Korinto (1-5)

    • Uzuri zaidi wa hekima ya Mungu (6-10)

    • Mutu wa kiroho na mutu wa kimwili (11-16)

  • 3

    • Wakorinto wangali watu wa kimwili (1-4)

    • Mungu anaikomalisha (5-9)

      • Wafanyakazi pamoja na Mungu (9)

    • Mujenge kwa vifaa vyenye haviwezi kuteketea kwa moto (10-15)

    • Ninyi ni hekalu la Mungu (16, 17)

    • Hekima ya ulimwengu ni upumbavu kwa Mungu (18-23)

  • 4

    • Wasimamizi-nyumba wanapaswa kuwa waaminifu (1-5)

    • Unyenyekevu wa watumishi Wakristo (6-13)

      • “Musipite mambo yenye yaliandikwa” (6)

      • Wakristo ni tamasha (9)

    • Paulo anahangaikia watoto wake wa kiroho (14-21)

  • 5

    • Kisa cha uasherati (1-5)

    • Chachu kidogo inachachisha donge lote (6-8)

    • Mutu muovu aondolewe (9-13)

  • 6

    • Mashitaka ya kisheria kati ya ndugu Wakristo (1-8)

    • Wale wenye hawatariti Ufalme (9-11)

    • Mumutukuze Mungu katika mwili wenu (12-20)

      • “Mukimbie uasherati!” (18)

  • 7

    • Shauri kwa wenye hawajaoa ao kuolewa (1-16)

    • Bakia katika hali yenye uliitwa ndani (17-24)

    • Wenye hawajaoa ao kuolewa, na wajane (25-40)

      • Faida za kubakia bila kuoa ao kuolewa (32-35)

      • Kuoa ao kuolewa “katika Bwana tu” (39)

  • 8

    • Kuhusu chakula chenye kinatolewa kwa sanamu (1-13)

      • Kwetu sisi kuko Mungu mumoja tu (5, 6)

  • 9

    • Mufano wa Paulo akiwa mutume (1-27)

      • “Haupaswe kufunga kinywa cha ngombe-dume” (9)

      • ‘Ole wangu kama sihubiri!’ (16)

      • Kuwa vitu vyote kwa watu wote (19-23)

      • Kujizuia katika mbio ya uzima (24-27)

  • 10

    • Mifano ya kuonya kutokana na historia ya Israeli (1-13)

    • Onyo juu ya ibada ya sanamu (14-22)

      • Meza ya Yehova, meza ya pepo wachafu (21)

    • Uhuru na kufikiria wengine (23-33)

      • “Mufanye mambo yote kwa utukufu wa Mungu” (31)

  • 11

    • “Mukuwe waigaji wangu” (1)

    • Ukichwa na kufunika kichwa (2-16)

    • Kukumbuka Chakula cha Mangaribi cha Bwana (17-34)

  • 12

    • Zawadi za roho (1-11)

    • Mwili mumoja, viungo vingi (12-31)

  • 13

    • Upendo​—njia ya muzuri zaidi (1-13)

  • 14

    • Zawadi za unabii na luga (1-25)

    • Mikutano ya Kikristo yenye utaratibu (26-40)

      • Sehemu ya wanamuke katika kutaniko (34, 35)

  • 15

    • Ufufuo wa Kristo (1-11)

    • Ufufuo, musingi wa imani (12-19)

    • Ufufuo wa Kristo unatoa uhakikisho (20-34)

    • Mwili wa nyama, mwili wa roho (35-49)

    • Kutokufa na kutokuharibika (50-57)

    • Kuwa na mambo mengi ya kufanya katika kazi ya Bwana (58)

  • 16

    • Muchango kwa ajili ya Wakristo wa Yerusalemu (1-4)

    • Mipango ya safari ya Paulo (5-9)

    • Mipango ya Timoteo na Apolo ili kutembelea kutaniko (10-12)

    • Mashauri na salamu (13-24)