ONYESHA Vitabu vya Biblia Mwanzo Kutoka Mambo ya Walawi Hesabu Kumbukumbu la Torati Yoshua Waamuzi Rutu 1 Samweli 2 Samweli 1 Wafalme 2 Wafalme 1 Mambo ya Nyakati 2 Mambo ya Nyakati Ezra Nehemia Esta Yobu Zaburi Mezali Muhubiri Wimbo wa Sulemani Isaya Yeremia Maombolezo Ezekieli Danieli Hosea Yoeli Amosi Obadia Yona Mika Nahumu Habakuki Sefania Hagai Zekaria Malaki Matayo Marko Luka Yohana Matendo Waroma 1 Wakorinto 2 Wakorinto Wagalatia Waefeso Wafilipi Wakolosai 1 Watesalonike 2 Watesalonike 1 Timoteo 2 Timoteo Tito Filemoni Waebrania Yakobo 1 Petro 2 Petro 1 Yohana 2 Yohana 3 Yohana Yuda Ufunuo Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 Barua ya kwanza kwa Wakorinto Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 Habari Zenye Kuwa Ndani 1 Salamu (1-3) Paulo anamushukuru Mungu kwa sababu ya Wakorinto (4-9) Wanatiwa moyo kuwa na umoja (10-17) Kristo, nguvu na hekima ya Mungu (18-25) Kujisifu tu katika Yehova (26-31) 2 Mahubiri ya Paulo katika Korinto (1-5) Uzuri zaidi wa hekima ya Mungu (6-10) Mutu wa kiroho na mutu wa kimwili (11-16) 3 Wakorinto wangali watu wa kimwili (1-4) Mungu anaikomalisha (5-9) Wafanyakazi pamoja na Mungu (9) Mujenge kwa vifaa vyenye haviwezi kuteketea kwa moto (10-15) Ninyi ni hekalu la Mungu (16, 17) Hekima ya ulimwengu ni upumbavu kwa Mungu (18-23) 4 Wasimamizi-nyumba wanapaswa kuwa waaminifu (1-5) Unyenyekevu wa watumishi Wakristo (6-13) “Musipite mambo yenye yaliandikwa” (6) Wakristo ni tamasha (9) Paulo anahangaikia watoto wake wa kiroho (14-21) 5 Kisa cha uasherati (1-5) Chachu kidogo inachachisha donge lote (6-8) Mutu muovu aondolewe (9-13) 6 Mashitaka ya kisheria kati ya ndugu Wakristo (1-8) Wale wenye hawatariti Ufalme (9-11) Mumutukuze Mungu katika mwili wenu (12-20) “Mukimbie uasherati!” (18) 7 Shauri kwa wenye hawajaoa ao kuolewa (1-16) Bakia katika hali yenye uliitwa ndani (17-24) Wenye hawajaoa ao kuolewa, na wajane (25-40) Faida za kubakia bila kuoa ao kuolewa (32-35) Kuoa ao kuolewa “katika Bwana tu” (39) 8 Kuhusu chakula chenye kinatolewa kwa sanamu (1-13) Kwetu sisi kuko Mungu mumoja tu (5, 6) 9 Mufano wa Paulo akiwa mutume (1-27) “Haupaswe kufunga kinywa cha ngombe-dume” (9) ‘Ole wangu kama sihubiri!’ (16) Kuwa vitu vyote kwa watu wote (19-23) Kujizuia katika mbio ya uzima (24-27) 10 Mifano ya kuonya kutokana na historia ya Israeli (1-13) Onyo juu ya ibada ya sanamu (14-22) Meza ya Yehova, meza ya pepo wachafu (21) Uhuru na kufikiria wengine (23-33) “Mufanye mambo yote kwa utukufu wa Mungu” (31) 11 “Mukuwe waigaji wangu” (1) Ukichwa na kufunika kichwa (2-16) Kukumbuka Chakula cha Mangaribi cha Bwana (17-34) 12 Zawadi za roho (1-11) Mwili mumoja, viungo vingi (12-31) 13 Upendo—njia ya muzuri zaidi (1-13) 14 Zawadi za unabii na luga (1-25) Mikutano ya Kikristo yenye utaratibu (26-40) Sehemu ya wanamuke katika kutaniko (34, 35) 15 Ufufuo wa Kristo (1-11) Ufufuo, musingi wa imani (12-19) Ufufuo wa Kristo unatoa uhakikisho (20-34) Mwili wa nyama, mwili wa roho (35-49) Kutokufa na kutokuharibika (50-57) Kuwa na mambo mengi ya kufanya katika kazi ya Bwana (58) 16 Muchango kwa ajili ya Wakristo wa Yerusalemu (1-4) Mipango ya safari ya Paulo (5-9) Mipango ya Timoteo na Apolo ili kutembelea kutaniko (10-12) Mashauri na salamu (13-24) YENYE KUTANGULIA ENDELEA CHAPA TUMIA WENGINE TUMIA WENGINE 1 Wakorinto—Habari Zenye Kuwa Ndani BIBLIA—TAFSIRI YA ULIMWENGU MUPYA (YENYE ILIREKEBISHWA YA 2018) 1 Wakorinto—Habari Zenye Kuwa Ndani Kiswahili (Congo) 1 Wakorinto—Habari Zenye Kuwa Ndani https://assetsnffrgf-a.akamaihd.net/assets/ct/801d951a8d/images/syn_placeholder_sqr.png