Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MUNARA WA MULINZI Na. 1 2021 | Juu ya Nini Tusali?

Ulishakajisikia kama Mungu hajibiake sala zako? Kama ni vile hauko peke yako. Watu wengi wanaomba Mungu awasaidie, lakini magumu yao inaendelea. Habari zenye kufuata zitaonyesha ni juu ya nini tunaweza kuwa hakika kama Mungu anasikilizaka sala zetu, juu ya nini Mungu hajibiake sala fulani, na namna gani tunaweza kusali juu Mungu ajibie sala zetu.

 

Mambo Yenye Watu Wanasemaka Juu ya Sala

Sala ni zawadi kutoka kwa Mungu, ao ni desturi tu yenye haina maana?

Mungu Anasikiaka Sala Zetu?

Biblia inatuhakikishia kama Mungu anatusikiliza wakati tunasali kwake mu njia yenye kufaa.

Juu ya Nini Mungu Hajibiake Sala Zote?

Biblia inaonyesha sala zenye Mungu anajibiaka na sala zenye hajibiake.

Unaweza Kusali Namna Gani Juu Mungu Akusikie?

Zungumuza na Mungu fasi yoyote na wakati wowote, kwa sauti ao bila sauti. Yesu alitusaidia hata kujua mambo ya kutia mu sala zetu.

Kusali Kunaweza Kukuletea Faida Gani?

Namna gani sala inaweza kukusaidia upambane na magumu?

Mungu Anasikiaka Sala Zako?

Biblia inasema kama wakati unasali, Mungu anakusikiaka na anapenda kukusaidia.