Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kwa Imani

Kwa Imani

(Zaburi 27:13)

Uchukue ku Enternete:

  1. 1. Siogope adui,

    Na siogope simba;

    Tena sitafichama

    Wala kukimbia.

    Yehova iko na miye.

    (REFREE)

    Kwa imani, sitaogopa kitu.

    Mupaka mwisho, ntaendelea.

    Yah ananipa nguvu

    Ya kuvumilia.

    Yeye iko karibu yangu.

    Kwa imani.

  2. 2. Kuko waaminifu,

    Walivumiliaka

    Juu walikuwaka

    Na imani sana.

    Ku mbele, tutawaona.

    (REFREE)

    Kwa imani, sitaogopa kitu.

    Mupaka mwisho, ntaendelea.

    Yah ananipa nguvu

    Ya kuvumilia.

    Yeye iko karibu yangu.

    Kwa imani.

    (KILALO)

    Kwa imani, natumainia

    Mambo itabadilika.

    Ningekuwa

    Wapi kama singekuwa

    Na imani kila siku?

  3. 3. Magumu ya maisha,

    Mungu atatosha.

    Niko na nguvu,

    Na niko nachunga

    Ile siku kwa hamu sana.

    (REFREE)

    Kwa imani, sitaogopa kitu.

    Mupaka mwisho, ntaendelea.

    Yah ananipa nguvu

    Ya kuvumilia.

    Yeye iko karibu yangu.

    Kwa imani,

    Kwa imani.

(Ona pia Ebr. 11:1-40.)