Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 97

Uzima wetu unategemea neno ya mungu

Uzima wetu unategemea neno ya mungu

(Matayo 4:4)

  1. 1. Kusoma Neno ya Mungu

    kuko na faida.

    Tunakuwa na amani

    Na furaha sana.

    Kama tunaifuata

    Tutabarikiwa.

    (REFREE)

    Tutakuwa na furaha

    Mu maisha yetu.

    Tuisome kila siku;

    Tupate hekima.

  2. 2. Mu Biblia utaona

    Habari za mingi

    Za watu wenye imani

    Na waaminifu;

    Zinatutiaka moyo

    Na kutufariji.

    (REFREE)

    Tutakuwa na furaha

    Mu maisha yetu.

    Tuisome kila siku;

    Tupate hekima.

  3. 3. Katika Neno ya Mungu

    Tunapata nguvu,

    Tunapata tumaini,

    Na hekima mingi.

    Hata tupate magumu

    Tutavumilia.

    (REFREE)

    Tutakuwa na furaha

    Mu maisha yetu.

    Tuisome kila siku;

    Tupate hekima.

(Ona pia Yos. 1:8; Ro. 15:4.)