Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Sikiliza Majibu ya hii Maulizo

Sikiliza Majibu ya hii Maulizo
  1. 1. Juu ya nini inaomba kuwa na imani? (Yoh. 3:16)

  2. 2. Namna gani tunaweza kuiga imani ya Isaka na Rebeka, Esta na Timoteo? (Muh. 4:11, 12; Zb. 119:46; 2 Ti. 1:5)

  3. 3. Ni nini itatuchochea tuendelee kuhubiri hata kama tunapata magumu? (2 Ko. 4:13)

  4. 4. Tunaweza kufanya nini ili ‘kutembea kwa imani’ kila siku? (2 Ko. 5:7)

  5. 5. Tunapaswa kufanya nini ili Yehova atujue? (2 Ti. 2:19; Yak. 4:6; 2 Ko. 13:5)