Familia Yenu Inaweza Kuwa na Furaha

Munaweza kuwa na ndoa na familia yenye furaha mukitumia kanuni za Biblia.

Utangulizi

Munaweza kuwa na familia na ndoa yenye furaha mukitumia kanuni za Biblia zenye kupatikana katika broshua hii.

SOMO LA 1

Mumutegemee Mungu ili Ndoa Yenu Iwe na Furaha

Kufikiria maulizo mawili yaliyo rahisi kunaweza kukusaidia ufanye ndoa yako iwe muzuri zaidi.

SOMO LA 2

Uwe Mwaminifu-mushikamanifu kwa Mwenzako

Zaidi ya kuepuka uzinifu katika ndoa, kuna mambo mengine ya kutendea bibi ao bwana yako ili kuwa mwaminifu kwake?

SOMO LA 3

Namna ya Kumaliza Matatizo

Kutumia njia nzuri ili kumaliza matatizo kunaweza kusaidia ndoa iwe nguvu na yenye furaha.

SOMO LA 4

Namna ya Kutumia Feza Vizuri

Kutumainiana na kusema kweli kunawasaidia namna gani?

SOMO LA 5

Namna ya Kuishi kwa Amani na Watu wa Jamaa

Unaweza kuheshimu wazazi wako bila kuhatarisha ndoa yako.

SOMO LA 6

Wakati Mutoto Anazaliwa, Mambo Yanabadilika

Unajua kulea mutoto kunaweza kufanya ndoa yenu iwe nguvu?

SOMO LA 7

Namna ya Kumufundisha Mutoto Wako

Nizamu haimaanishe tu kutoa sheria na malipizi.

SOMO LA 8

Wakati Musiba Unatokea

Tafuta musaada unaohitaji.

SOMO LA 9

Mumuabudu Yehova Katika Familia

Munaweza kufanya nini ili mufurahie zaidi ibada yenu ya familia?