Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

AMKENI! Na. 2 2019 | Masomo Sita Muhimu ya Kuwafundisha Watoto

Masomo Sita Muhimu ya Kuwafundisha Watoto

Ungependa mtoto wako ajulikane kuwa mtu wa namna gani atakapokuwa mtu mzima?

  • Mtu anayejidhibiti

  • Mnyenyekevu

  • Mstahimilivu

  • Mwajibikaji

  • Mwenye akili ya utu uzima

  • Mnyoofu

Watoto hawawezi kusitawisha sifa hizo kwa uwezo wao wenyewe tu. Wanahitaji mwongozo wako.

Gazeti hili linazungumzia masomo sita muhimu ya kumfundisha mtoto wako ili kumwandaa kwa ajili ya maisha ya baadaye.

 

Faida za Sifa ya Kujidhibiti

Kwa nini ni muhimu kuwa na sifa ya kujidhibiti, na tunaweza kuisitawishaje sifa hiyo?

Jinsi ya Kuwa Mnyenyekevu

Ukiwafundisha watoto wako kuwa wanyenyekevu, watafaidika sasa na wakati ujao.

Jinsi ya Kuwa Mstahimilivu

Watoto wanaojifunza kuwa wastahimilivu, wana uwezo mkubwa zaidi wa kushinda changamoto za maisha.

Jinsi ya Kuwa Mwajibikaji

Mtu anapaswa kujifunza kuwa mwajibikaji katika umri gani, anapokuwa mtoto au mtu mzima?

Umuhimu wa Mwongozo wa Watu Wazima

Watoto wanahitaji mwongozo wenye kutegemeka, lakini wanaweza kupata msaada huo wapi?

Umuhimu wa Kuwa na Maadili

Kuwafundisha watoto wako maadili kutawajengea msingi wa maisha ya baadaye.

Msaada Zaidi kwa Ajili ya Wazazi

Wazazi pia wanahitaji mwongozo unaotegemeka. Ili kupata habari zaidi kuhusu jinsi ya kulea watoto, tafadhali tembelea jw.org/sw.