MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Oktoba 2017

Toleo hili lina makala za funzo za Novemba 27 hadi Desemba 24, 2017.

SIMULIZI LA MAISHA

Kufanya Yale Ambayo Yehova Anataka Huleta Baraka

Katika mwaka wa 1952, Olive Matthews na mume wake walikubali mwaliko wa kuhamia Ireland ili wakatumikie wakiwa mapainia huko. Yehova aliwabariki katika njia zipi?

“Tupendane . . . kwa Tendo na Kweli”

Tunaweza kuonyeshaje kwamba upendo wetu unatoka moyoni na hauna unafiki?

Kweli Huleta, “Si Amani, Bali Upanga”

“Upanga” ambao Yesu alisema angeleta ni nini, nao unaweza kukuathirije?

Yosefu wa Arimathea Achukua Msimamo

Yosefu wa Arimathea alikuwa nani? Alikuwa na uhusiano gani na Yesu? Na kwa nini tupendezwe na simulizi lake?

Jinsi Maono ya Zekaria Yanavyokuhusu

Kitabu cha kukunjwa kinachoruka, mwanamke akiwa ndani ya chombo cha efa kilichofunikwa, na wanawake wawili wanaopaa katika upepo. Kwa nini Mungu alimpa Zekaria maono hayo yenye kustaajabisha?

Unalindwa na Magari ya Kukokotwa na Taji

Milima ya shaba, magari ya kukokotwa yaliyotayarishwa kwa ajili ya vita, na kuhani mkuu anawekwa kuwa mfalme. Maono ya mwisho ya Zekaria yanawahakikishia nini watu wa Mungu leo?

Tendo Moja la Fadhili za Kikristo

Tendo moja la fadhili lilimsaidiaje mtu aliyekuwa mpinzani kupendezwa na kweli za Biblia?

Je, Wajua?

Kwa nini Yesu alishutumu zoea la Wayahudi la kuapa?