Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 104

Roho Takatifu​—⁠Zawadi Kutoka kwa Mungu

Roho Takatifu​—⁠Zawadi Kutoka kwa Mungu

(Luka 11:13)

  1. 1. Baba Yehova, mwenye rehema

    Mioyo yetu waijua.

    Tuondolee mahangaiko,

    Tupe faraja ya roho yako.

  2. 2. Twakukosea mara kwa mara.

    Tu wanadamu wenye dhambi.

    Mungu twaomba: Tunakusihi,

    Utuongoze kwa roho yako.

  3. 3. Tunapochoka, na kulemewa,

    Roho yako yatuinua.

    Tutakimbia, hatutachoka.

    Tupe roho yako takatifu.