Kujenga Majumba ya Ufalme Katika Maeneo ya Mbali
Vikundi vya wajitoleaji vilikusanyika ili kujenga Majumba mawili ya Ufalme ya Mashahidi wa Yehova. Jumba moja lilijengwa katika eneo dogo lililo chini ya himaya ya Ufaransa kilomita 25 kutoka pwani ya Newfoundland, Kanada, na lingine katika mji wa Happy Valley-Goose Bay, Labrador.