Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 70

Tafuteni Wanaostahili

Tafuteni Wanaostahili

(Mathayo 10:11-15)

  1. 1. Tunapohubiri na kufundisha,

    Bwana alituagiza:

    ‘Popote mwingiapo, tafuteni,

    Wastahilio, wenye njaa.

    Wasalimuni na kuwatakia,

    Amani wenye kustahili.

    Wengine wasipowasikiliza,

    Wakung’utieni mavumbi.’

  2. 2. Wote wanaowapokea ninyi,

    Wanampokea Bwana.

    Tumaini la uzima

    Litawachochea wajiunge nanyi.

    Msihangaikie la kusema,

    Yehova atawawezesha.

    Maneno ya fadhili, yenye chumvi,

    Yatawavutia wapole.