Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

AMUKA! Na. 1 2018 | Njia ya Maisha Yenye Furaha

TUNAWEZA KUPATA WAPI MASHAURI YA MUZURI ILI KUWA NA MAISHA YENYE FURAHA?

Biblia inasema hivi: “Wenye furaha ni wale wasio na kosa katika njia yao.”​—Zaburi 119:1.

Habari saba zenye kuwa katika gazeti hili zinazungumuzia kanuni zenye zimeonekana sikuzote kuwa zenye faida na ambazo zinasaidia sana watu ili wakuwe na maisha yenye furaha.

 

Namna ya Kupata Njia

Unajiona kuwa mutu mwenye furaha? Ni nini inafanya mutu akuwe na furaha?

Kutosheka na Ukarimu

Watu wengi wanawaza kama ili mutu akuwe na furaha anapaswa kuwa na vitu vingi vya kimwili ao utajiri. Je, feza na vitu vya kimwili vinaleta furaha yenye kuendelea? Ukweli wa mambo unaonyesha nini?

Afya ya Kimwili na Uwezo wa Kuvumilia

Ikiwa afya yetu ni ya mubaya, je, hilo linaonyesha kama hatutakuwa tena na furaha?

Upendo

Kuonyesha na kuonyeshwa upendo ni jambo la maana sana ili kuwa na furaha.

Kusamehe

Maisha yenye kujaa kasirani na kinyongo ni maisha yenye haina furaha na haiko muzuri kwa afya.

Kusudi Katika Maisha

Kupata majibu ya kweli ya maulizo ya maana kuhusu maisha ni kwa maana sana ili kuwa na furaha.

Tumaini

Watu wengi wanaona kuwa ni nguvu kuwa na furaha ikiwa hawajue kabisa namna wakati wao wenye kuja na wa watu wenye wanapenda utakuwa namna gani.

Pata Habari Zaidi Kuhusu Njia ya Maisha Yenye Furaha

Mambo mengi yanafanya mutu akuwe na furaha ao akose furaha. Pata bila kulipa habari zenye kuzungumuzia sehemu za maana katika maisha.