MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 10, 2017

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 27 Mwezi wa 11 mupaka tarehe 24, Mwezi wa 12, 2017.

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Kufanya Mambo Yenye Yehova Anaomba Kunaleta Baraka

Katika mwaka wa 1952, Olive Matthews na bwana yake walikubali mwaliko wa kuhamia Irelandi, na kufanya kazi ya upainia huko. Namna gani Yehova aliwabariki?

“Tupendane . . . kwa Tendo na Kweli”

Namna gani tunaweza kuonyesha kuwa upendo wetu ni wa kweli kabisa na hauna unafiki?

Kweli Hailete, “Amani, Bali Upanga”

Ni “upanga” gani wenye Yesu alisema kuwa angeleta, na namna gani unaweza kuwa na matokeo gani juu yako?

Yosefu wa Arimathea Anakamata Musimamo

Who was this man? What connection did he have with Jesus? What makes his story worthy of your interest?

Maono ya Zekaria​—Yanakuhusu Namna Gani?

Kitabu cha kukunjwa chenye kuruka, mwanamuke mwenye kuwa ndani ya chombo fulani chenye kufanana na kitunga, wanawake wawili wenye kuruka katika anga. Sababu gani Mungu alipatia Zekaria maono hayo yenye kushangaza?

Taji na Magari ya Kukokotwa Vinawalinda

Milima ya shaba, magari ya kukokotwa yenye kufaa kwa ajili ya vita, na kuhani mukubwa anafanywa kuwa mufalme. Maono ya mwisho ya Zekaria yanahakikishia watu wa Mungu nini leo?

Tendo Moja la Wema wa Kikristo

Namna gani tendo moja la wema lilisaidia mutu mwenye kupinga kweli apendezwe na kweli za Biblia?

Ulijua?

Sababu gani Yesu alihukumu tabia ya Wayahudi ya kuapa?