Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SWALI LA 16

Unawezaje Kukabiliana na Mahangaiko?

“Mtupie Yehova mzigo wako, naye atakutegemeza. Hataruhusu kamwe mwadilifu aanguke.”

Zaburi 55:⁠22

“Mipango ya wenye bidii hakika huleta mafanikio, Lakini wote walio na haraka kwa hakika watakuwa maskini.”

Methali 21:5

“Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe. Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako. Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’”

Isaya 41:⁠10

“Ni nani kati yenu ambaye kwa kuhangaika anaweza kurefusha uhai wake kwa mkono mmoja?”

Mathayo 6:​27

“Basi, msihangaike kamwe kuhusu kesho, kwa maana kesho itakuwa na mahangaiko yake yenyewe. Kila siku ina matatizo yake ya kutosha.”

Mathayo 6:​34

“Mhakikishe mambo muhimu zaidi.”

Wafilipi 1:​10

“Msihangaike kuhusiana na jambo lolote, bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani, mjulisheni Mungu maombi yenu; na amani ya Mungu inayozidi uelewaji wote itailinda mioyo yenu na nguvu zenu za akili kupitia Kristo Yesu.”

Wafilipi 4:​6, 7