Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Habari Zenye Kuwa mu Gazeti Hili la Amuka!: Je, Biblia Inaweza Kukuletea Faida Katika Maisha?

Habari Zenye Kuwa mu Gazeti Hili la Amuka!: Je, Biblia Inaweza Kukuletea Faida Katika Maisha?

Kitabu cha Zamani Chenye Kinatuletea Faida Leo

Biblia haituongoze tu mu mambo ya dini. Iko na mashauri yenye inaweza kutuletea faida mu mambo, kama vile:

  • Afya ya kimwili

  • Afya ya moyoni

  • Maisha ya familia na urafiki

  • Mambo ya feza

  • Hali ya kiroho

Kitabu Chenye Kimesaidia Watu Sana Katika Historia

Kwa miaka mingi Biblia imesaidia watu wakuwe na maisha ya muzuri zaidi. Leo, Biblia inapatikana mu maelfu ya luga. Ona namna unaweza kufaidika na hekima ya Biblia yenye kutumika.