Habari Zenye Kuwa mu Gazeti Hili la Amuka!: Je, Biblia Inaweza Kukuletea Faida Katika Maisha?
Kitabu cha Zamani Chenye Kinatuletea Faida Leo
Biblia haituongoze tu mu mambo ya dini. Iko na mashauri yenye inaweza kutuletea faida mu mambo, kama vile:
Afya ya kimwili
Afya ya moyoni
Maisha ya familia na urafiki
Mambo ya feza
Hali ya kiroho
Kitabu Chenye Kimesaidia Watu Sana Katika Historia
Kwa miaka mingi Biblia imesaidia watu wakuwe na maisha ya muzuri zaidi. Leo, Biblia inapatikana mu maelfu ya luga. Ona namna unaweza kufaidika na hekima ya Biblia yenye kutumika.