Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Mika

Sura

1 2 3 4 5 6 7

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Hukumu dhidi ya Samaria na Yuda (1-16)

      • Matatizo yasababishwa na dhambi na uasi (5)

  • 2

    • Ole kwa wakandamizaji! (1-11)

    • Waisraeli wakusanywa na kuunganishwa (12, 13)

      • Nchi itakuwa na kelele za watu (12)

  • 3

    • Viongozi na manabii washutumiwa (1-12)

      • Mika apata nguvu nyingi kwa sababu ya roho ya Yehova (8)

      • Makuhani wafundisha ili wapate pesa (11)

      • Yerusalemu litabaki marundo ya magofu (12)

  • 4

    • Mlima wa Yehova wainuliwa (1-5)

      • Panga zitakuwa majembe (3)

      • “Tutatembea katika jina la Yehova” (5)

    • Sayuni lajengwa upya na kuimarishwa (6-13)

  • 5

    • Mtawala atakayekuwa mkuu katika dunia yote (1-6)

      • Mtawala atatoka Bethlehemu (2)

    • Watu waliobaki watakuwa kama umande na kama simba (7-9)

    • Nchi itatakaswa (10-15)

  • 6

    • Mungu ana kesi dhidi ya Waisraeli (1-5)

    • Yehova anataka nini? (6-8)

      • Haki, ushikamanifu, kiasi (8)

    • Hatia na adhabu ya Waisraeli (9-16)

  • 7

    • Maadili mapotovu ya Waisraeli (1-6)

      • Adui watakuwa watu wa nyumbani (6)

    • “Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu” (7)

    • Watu wa Mungu watetewa (8-13)

    • Mika asali na kumsifu Mungu (14-20)

      • Jibu la Yehova (15-17)

      • ‘Ni Mungu gani aliye kama Yehova?’ (18)