Hamia kwenye habari

Ndoa

Jinsi ya Kufanikiwa

Fuata Mwongozo wa Mungu ili Uwe na Ndoa Yenye Furaha

Kujiuliza maswali mawili rahisi kunaweza kuisaidia ndoa yako.

Ndoa Inawezaje Kuwa na Furaha?

Ushauri wa Biblia kuhusu kuwa na ndoa yenye furaha unafaa kwa sababu unatoka kwa Mwanzilishi wa ndoa, Yehova Mungu.

Hekima Inayotusaidia Kuwa na Maisha ya Familia Yenye Furaha

Waume, wake, wazazi, na watoto wanaweza kufanya nini ili wafurahie maisha ya familia?

Mafanikio Katika Familia​—Ushirikiano

Je, unamwona mwenzi wako wa ndoa kama mtu mnayeishi naye tu chumba kimoja?

Jinsi ya Kusitawisha Subira

Watu wawili wasio wakamilifu wanapofunga ndoa, matatizo hutokea. Subira ni muhimu ili ndoa ifanikiwe.

Jinsi ya Kuonyesha Heshima

Heshima ni muhimu sana katika ndoa na haipaswi kupuuzwa hata kidogo. Unaweza kuonyeshaje kwamba unamheshimu mwenzi wako?

Mtendee Mwenzi Wako wa Ndoa kwa Heshima

Mume au mke anawezaje kueleza maoni yake kwa heshima?

Ili Uwe na Ndoa Yenye Furaha: Onyesha Upendo

Kazi, mkazo, na changamoto za maisha zinaweza kuwafanya wenzi wa ndoa wasionyeshane upendo mwingi. Je, upendo wa kweli unaweza kuchochewa upya?

Jinsi ya Kuonyesha Uthamini

Mume na mke wanapojitahidi kutambua na kuonyesha wanathamini sifa nzuri za mwenzi wao, uhusiano wao utasitawi. Ni nini kinachoweza kukusaidia kuonyesha uthamini?

Jinsi ya Kuonyesha Upendo

Wenzi wa ndoa wanaweza kuonyeshaje kwamba wanapendana kikweli? Fikiria mapendekezo manne yanayotegemea kanuni za Biblia.

Jinsi ya Kuimarisha Uwajibikaji Katika Ndoa

Je uwajibikaji ni kama mzigo mzito au ni nanga inayoweza kuimarisha ndoa yako?

Wajibika Sikuzote Katika Ndoa Yako

Ni nini kinachoimarisha ndoa? Ni nini kinachodhoofisha ndoa? Unawezaje kuimarisha ndoa yako?

Uwe Mshikamanifu kwa Mwenzi Wako

Je, kuwa mwaminifu katika ndoa kunamaanisha tu kuepuka uzinzi?

Jinsi ya Kufanikiwa Katika Ndoa ya Pili

Huenda ndoa ya pili ikasababisha matatizo ambayo hayakuwa katika ndoa ya kwanza. Wenzi wa ndoa wanawezaje kufanikiwa?

Waume—Dumisheni Amani Nyumbani

Familia inaweza kuwa na usalama wa kifedha na wakati uleule ikakosa furaha.

Njia ya Maisha Inayoleta Furaha​​—Upendo

Kuwapenda wengine, na kuonyeshwa upendo huchangia kwa kiwango kikubwa kuleta furaha.

Kile Ambacho Biblia Inasema

Biblia Inasema Nini Kuhusu Ndoa za Watu wa Jinsia Moja?

Ni lazima mwanzilishi wa ndoa awe anajua njia bora zaidi ya kuwa na muungano wenye furaha na wenye kudumu.

Je, Biblia Inaruhusu Mwanamume Awe na Wake Wengi?

Je, Mungu ndiye aliyeanzisha mpango wa mwanamume kuwa na wake wengi? Chuguza yale ambayo Biblia inasema kuhusu mwanamume kuwa na wake wengi.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Ndoa Kati ya Watu wa Rangi Tofauti?

Fikiria kanuni fulani za Biblia zinazohusiana na usawa wa kijamii na ndoa.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Ndoa?

Kanuni za Biblia zinaweza kusaidia wenzi wa ndoa kuepuka na kushinda hali ngumu.

Je, Ndoa Ni Mkataba Tu Kati ya Watu Wawili?

Ona jinsi ambavyo madaraka ambayo Mungu amempa mume na mke yanaweza kuwasaidia wafanikiwe na wawe na furaha.

Matatizo na Suluhisho

Maoni Yanayofaa Kuhusu Sifa za Mwenzi wako Zinazokukasirisha

Badala ya kuacha sifa inayokukasirisha itokeze mzozo, jifunze kuiona kwa njia tofauti.

Jinsi ya Kuacha Kazi “Ibaki Kazini”

Madokezo matano yanayoweza kukusaidia usiruhusu kazi yako iingilie ndoa yako.

Msaada kwa Wanaotendewa kwa Jeuri Nyumbani

Jua kwamba si kosa lako na hauko peke yako.

Mwisho wa Jeuri Inayotokea Nyumbani

Kanuni za Biblia zinawezaje kuwasaidia watu wenye jeuri kubadili tabia yao?

Kushughulika na Wakwe

Mapendekezo matatu yanayoweza kukusaidia kushughulika na wakwe kusiwe tatizo katika ndoa.

Jinsi ya Kuishi kwa Amani na Watu wa Ukoo

Unaweza kuwaheshimu wazazi wako bila kupuuza ndoa yako.

Maoni Yanapotofautiana

Wenzi wa ndoa wanaweza kutatuaje matatizo na kuendelea kuwa na amani kati yao?

Kutatua Matatizo Katika Ndoa

Kwa nini matatizo hutokea katika ndoa, na unaweza kufanya nini ili kuia matatizo yasiharibu ndoa yako

Mwenzi wa Ndoa Anapotazama Ponografia

Wenzi wa ndoa wanawezaje kushirikiana ili kushinda uraibu wa mmoja wao wa kutazama ponografia na kuanza kuaminiana tena katika ndoa yao?

Ponografia Inaweza Kuiharibu Ndoa Yako

Mapendekezo haya yanaweza kukusudia kuacha kabisa zoea la kutazama ponografia na kuwa na uhusiano mzuri tena pamoja na mwenzi wako.

Mapendezi Yanapotofautiana

Je, unafikiri kwamba wewe na mwenzi wako mna mapendezi yanayotofautiana?

Jinsi ya Kushinda Kinyongo

Ili umsamehe mwenzi wako, je, unapaswa kupuuza au kujifanya kwamba hakukosea?

Mafanikio Katika Familia​—Kusameheana

Unaweza kufanya nini ili badala ya kukazia udhaifu wa mwenzi wako, uone sifa zake nzuri?

Watoto Wanapoondoka Nyumbani

Baadhi ya wenzi wa ndoa hukabili changamoto watoto wanapokuwa watu wazima na kuondoka nyumbani. Wazazi wanaweza kufanya nini ili kuzoea hali hiyo mpya?

Majanga Yanapotokea

Pata msaada unaohitaji.

Jinsi ya Kuepuka Wivu Katika Ndoa

Ndoa haiwezi kuwa na furaha ikiwa mume na mke hawaaminiani au ikiwa mmoja anamshuku mwenzake. Hivyo, unaweza kuepukaje wivu usio na msingi?

Urafiki Unapokuwa wa Karibu Kupita Kiasi

Je, unajiambia, ‘Sisi ni marafiki tu? ’ Kama ndivyo, chunguza kanuni za Biblia ili uone jinsi unavyoweza kuacha maoni hayo.

Kutengana na Talaka

Jinsi Talaka Inavyowaathiri Watoto

Ijapokuwa watu fulani hufikiri kwamba talaka itakuwa na manufaa kwa watoto wao, utafiti unaonyesha kwamba talaka huwa na madhara makubwa sana kwa watoto.

Unapohisi Umechoshwa na Ndoa Yako

Je, unahisi uko katika kifungo cha jela badala ya kufurahia ndoa? Kuna mambo matano yanayoweza kusaidia ndoa yako.

Je, Kuna Sababu za Kuendelea Kuishi Mwenzi wa Ndoa Anapofanya Uzinzi?

Wengi wa wale ambao wenzi wao wamefanya uzinzi hupata faraja kwa kusoma Maandiko.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Uzinzi

Je uzinzi unavunja ndoa?

Je, Biblia Inaruhusu Talaka?

Jifunze kile ambacho Mungu anaruhusu na kile anachochukia.

Je, Talaka Ndiyo Suluhisho?

Ikiwa kuna shida katika ndoa na inaelekea kuvunjika, unapaswa kufanya nini?

Kusonga Mbele Baada ya Talaka

Baada ya talaka, watu wengi hutambua kwamba maisha ni magumu kuliko walivyotazamia. Ushauri wa Biblia unaweza kukusaidia ufanikiwe.

Mashahidi wa Yehova Wana Maoni Gani Kuhusu Talaka?

Je, Mashahidi wa Yehova husaidia wenzi wa ndoa walio katika ndoa zenye matatizo? Je, lazima wazee wa kutaniko waidhinishe talaka kati ya wenzi wa ndoa?