Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Matendo ya Mitume

Sura

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Ujumbe kwa Theofilo (1-5)

    • Mashahidi mpaka sehemu ya mbali ya dunia (6-8)

    • Yesu apaa mbinguni (9-11)

    • Wanafunzi wakusanyika kwa umoja (12-14)

    • Mathia achaguliwa kuchukua mahali pa Yuda (15-26)

  • 2

    • Wanafunzi wapokea roho takatifu siku ya Pentekoste (1-13)

    • Hotuba ya Petro (14-36)

    • Umati wakubaliana na hotuba ya Petro (37-41)

      • Watu 3,000 wabatizwa (41)

    • Ushirika wa Kikristo (42-47)

  • 3

    • Petro amponya kilema aliyekuwa akiombaomba (1-10)

    • Hotuba ya Petro kwenye Safu ya Nguzo za Sulemani (11-26)

      • “Kurudishwa kwa mambo yote” (21)

      • Nabii kama Musa (22)

  • 4

    • Petro na Yohana wakamatwa (1-4)

      • Idadi ya waamini yafikia wanaume 5,000 (4)

    • Kesi mbele ya Sanhedrini (5-22)

      • “Hatuwezi kuacha kusema” (20)

    • Wasali ili wapate ujasiri (23-31)

    • Wanafunzi washiriki vitu vyao pamoja (32-37)

  • 5

    • Anania na Safira (1-11)

    • Mitume wafanya ishara nyingi (12-16)

    • Wafungwa gerezani, kisha waachiliwa huru (17-21a)

    • Washtakiwa mbele ya Sanhedrini tena (21b-32)

      • ‘Kumtii Mungu badala ya wanadamu’ (29)

    • Ushauri wa Gamalieli (33-40)

    • Kuhubiri nyumba kwa nyumba (41, 42)

  • 6

    • Wanaume saba wachaguliwa kuhudumu (1-7)

    • Stefano ashtakiwa kwamba amekufuru (8-15)

  • 7

    • Hotuba ya Stefano mbele ya Sanhedrini (1-53)

      • Nyakati za wazee wa ukoo (2-16)

      • Uongozi wa Musa; Waisraeli waabudu sanamu (17-43)

      • Mungu haishi kwenye mahekalu yaliyojengwa na wanadamu (44-50)

    • Stefano apigwa mawe (54-60)

  • 8

    • Sauli mtesaji (1-3)

    • Filipo apata matokeo mazuri katika huduma huko Samaria (4-13)

    • Petro na Yohana watumwa Samaria (14-17)

    • Simoni ajaribu kununua roho takatifu (18-25)

    • Toashi Mwethiopia (26-40)

  • 9

    • Sauli akiwa njiani kuelekea Damasko (1-9)

    • Anania atumwa kumsaidia Sauli (10-19a)

    • Sauli ahuburi kumhusu Yesu huko Damasko (19b-25)

    • Sauli atembelea Yerusalemu (26-31)

    • Petro amponya Ainea (32-35)

    • Dorkasi mkarimu afufuliwa (36-43)

  • 10

    • Maono ya Kornelio (1-8)

    • Maono ya Petro kuhusu wanyama waliotakaswa (9-16)

    • Petro amtembelea Kornelio (17-33)

    • Petro awatangazia habari njema watu wa mataifa (34-43)

      • “Mungu hana ubaguzi” (34, 35)

    • Watu wa mataifa wapokea roho takatifu na kubatizwa (44-48)

  • 11

    • Petro atoa ripoti kwa mitume (1-18)

    • Barnaba na Sauli huko Antiokia ya Siria (19-26)

      • Wanafunzi waanza kuitwa Wakristo (26)

    • Agabo atabiri kuhusu njaa (27-30)

  • 12

    • Yakobo auawa; Petro afungwa gerezani (1-5)

    • Petro awekwa huru kimuujiza (6-19)

    • Malaika ampiga Herode (20-25)

  • 13

    • Barnaba na Sauli watumwa wakiwa wamishonari (1-3)

    • Huduma huko Kipro (4-12)

    • Hotuba ya Paulo huko Antiokia ya Pisidia (13-41)

    • Amri ya kinabii ya kuwageukia watu wa mataifa (42-52)

  • 14

    • Ongezeko na upinzani huko Ikoniamu (1-7)

    • Wadhaniwa kuwa miungu huko Listra (8-18)

    • Paulo aokoka kufa baada ya kupigwa mawe (19, 20)

    • Kuyaimarisha makutaniko (21-23)

    • Kurudi huko Antiokia ya Siria (24-28)

  • 15

    • Bishano kuhusu tohara huko Antiokia (1, 2)

    • Suala lapelekwa Yerusalemu (3-5)

    • Wazee na mitume wafanya mkutano (6-21)

    • Barua kutoka baraza linaloongoza (22-29)

      • Kujiepusha na damu (28, 29)

    • Makutaniko yatiwa moyo kupitia barua (30-35)

    • Paulo na Barnaba waachana (36-41)

  • 16

    • Paulo amchagua Timotheo (1-5)

    • Maono kuhusu mwanamume Mmakedonia (6-10)

    • Lidia awa mwamini huko Filipi (11-15)

    • Paulo na Sila wafungwa gerezani (16-24)

    • Mlinzi wa jela na nyumba yake wabatizwa (25-34)

    • Paulo ataka ombi rasmi la msamaha (35-40)

  • 17

    • Paulo na Sila huko Thesalonike (1-9)

    • Paulo na Sila huko Beroya (10-15)

    • Paulo huko Athene (16-22a)

    • Hotuba ya Paulo katika Areopago (22b-34)

  • 18

    • Huduma ya Paulo huko Korintho (1-17)

    • Kurudi Antiokia ya Siria (18-22)

    • Paulo aenda Galatia na Frigia (23)

    • Apolo mwenye ufasaha asaidiwa (24-28)

  • 19

    • Paulo huko Efeso; baadhi ya watu wabatizwa tena (1-7)

    • Paulo ajishughulisha na kazi ya kufundisha (8-10)

    • Mafanikio licha ya roho waovu (11-20)

    • Machafuko huko Efeso (21-41)

  • 20

    • Paulo akiwa Makedonia na Ugiriki (1-6)

    • Eutiko afufuliwa huko Troa (7-12)

    • Kutoka Troa kwenda Mileto (13-16)

    • Paulo akutana na wazee wa Efeso (17-38)

      • Kufundisha nyumba kwa nyumba (20)

      • “Kuna furaha zaidi katika kutoa” (35)

  • 21

    • Safarini kwenda Yerusalemu (1-14)

    • Kuwasili Yerusalemu (15-19)

    • Paulo afuata ushauri wa wazee (20-26)

    • Vurugu hekaluni; Paulo akamatwa (27-36)

    • Paulo aruhusiwa kuhutubia umati (37-40)

  • 22

    • Paulo ajitetea mbele ya umati (1-21)

    • Paulo atumia uraia wake wa Roma (22-29)

    • Baraza la Sanhedrini lakutana (30)

  • 23

    • Paulo azungumza mbele ya Sanhedrini (1-10)

    • Bwana amtia nguvu Paulo (11)

    • Njama ya kumuua Paulo (12-22)

    • Paulo apelekwa Kaisaria (23-35)

  • 24

    • Mashtaka dhidi ya Paulo (1-9)

    • Paulo ajitetea mbele ya Feliksi (10-21)

    • Kesi ya Paulo yacheleweshwa kwa miaka miwili (22-27)

  • 25

    • Kesi ya Paulo mbele ya Festo (1-12)

      • “Ninakata rufaa kwa Kaisari!” (11)

    • Festo ashauriana na Mfalme Agripa (13-22)

    • Paulo mbele ya Agripa (23-27)

  • 26

    • Paulo ajitetea mbele ya Agripa (1-11)

    • Paulo aeleza jinsi alivyogeuka (12-23)

    • Maoni ya Festo na Agripa (24-32)

  • 27

    • Paulo asafiri baharini kwenda Roma (1-12)

    • Meli yapigwa na dhoruba (13-38)

    • Wavunjikiwa na meli (39-44)

  • 28

    • Ufuoni huko Malta (1-6)

    • Baba ya Publio aponywa (7-10)

    • Kuelekea Roma (11-16)

    • Paulo azungumza na Wayahudi huko Roma (17-29)

    • Paulo ahubiri kwa ujasiri kwa miaka miwili (30, 31)